8 November 2013




Pichani ni bwana Yahaya Ramadhani Gombe anaeshtumiwa kwa kosa la kumnyonga aliyekuwa mkewe kwa sababu ya mapenzi. 

Mwili wa marehemu umekutwa store nyumbani kwa huyu bwana. Na inasemekana ameonekana Tanga.

Jina la huyu jamaa ni: Yahaya Ramadhani Gombe 
Kabila: Mzigua 
Makazi: Mbagala DSM, 
RB Number: MBL/ RB/11742/12.MAUWAJI 
Tafadhali ukimuona toa taarifa katika kituo cha police.

0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!